Friday, October 30, 2009

jane kajoki wa gazeti la the citizen

Climate change in Kilimanjaro

MABADILIKO YA HALI YA HEWA MLIMA KILIMANJARO

Mabadiliko ya Tabia ya nchi ama mabadiliko ya hali ya hewa ni suala ambalo hivi sasa linaikabili Dunia nzima .
.
Mabadiliko haya ya hali ya hewa yanaonekana kuathiri zaidi nchi zilizo katika Bara la Afrika ,Hali hii ya mabadliko ya hali ya hewa inakusudiwa kuathiri ama kuhatarisha juhudi za maendeleo katika nchi mbalimbali.

Suala hili la mabadiliko ya tabia ya Nchi limeanza kuonekana katika Mlima Kilimanjaro Nchini Tanzania , Ambako theruji iliyokuwa kivutio kikubwa kwa watalii inayeyuka kwa kasi na inazidi kuyeyuka kadri siku zinavyokwenda na pengine huenda ikaisha kabisa

Zipo sababu nyingi zinazoelezwa kusababisha kuwepo kwa mabadiliko ya hali ya hewa katika mlima kilimanjaro sababu ambazo zinasababishwa na utumiaji wa nishati za carbon gas emissions pia Umwagaji wa hewa chafu umechangia kuharibu mazingira katika mlima huo hali inayo sababisha ongezeko kubwa la joto

Mabadiliko ya hali ya Hewa katika mlima Kilimanjaro unasabishwa pia na wakazi wa maeneo hayo kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya uhifadhi wa mazingira hali inayopelekea kukata miti ovyo, kuchoma mikaa katika mazingira haya ya mlima , na mambo mengine mengi ambayo wakazi wanayafanya bila wao kujua kwamba wanaharibu na kusababisha madhara yatokanayo na mabadiliko ya hali ya hewa.

Hali ya hewa katika mlima Kilimanjaro awali ilikuwa ni ya ubaridi lakini kutokana na barafu kuyeyuka na nyuzi joto kuongezeka mazingira katika mlima huu yanabadilika pia na makazi ya watu yanaonekana kutofaa hususani kwa wakazi wa Bondeni wanaotegemea maji yanayotiririka toka mlimani kwa ajili ya shughuli mbalimbalihuenda wakajikuwa wamekuwa wakimbizi wa mazingira .


Hata hivyo suala hili la uchafuzi wa mazingira limeonekana kusababishwa zaidi na watu wa nchi anbazo zimeendelea,Nchi hizi zimeonekana kuharibu na kuchafua mazingira kuliko watu wote.Na matokeo yake ni kwamba waathirika ni Nchi zinazoendelea. kinachositikisha ni kwamba wale wanao haribu wanaonekana kutoathirika sana kwa vile tayari wamekwisha jiandaa kwa kujiwekea, makazi ambayo, yanaweza yakastahamili zaidi, wana nyumba madhubuti ambazo haziangushwi kwa upepo huu wa kawaida. , kwa mfano, nchi. kama Japan sasa hivi tetemeko la ardhi sio tishio kwa nchi hiyo; kwa sababu yale majengo yamejengwa kitaalamu. Yanastahamili na pia nchi hizi zimeimarisha kila aina ya miundombinu.

Mabadiliko ya hali ya hewa katika mlima Kilimanjaro yanazidi kuleta changamoto nyingi zikiwemo, kupungua kwa watalii ambao walikuwa wakija kutazama theruji, kilimo kimekuwa cha kusuasua kwani sasa hivi migomba haipati maji ya kutosha. Suala hili la mabadiliko ya hali ya hewa linahitaji ushirikiano wa mataifa kwa vile ni suala ambalo linahitaji ushirikiano kati ya nchi zilizoendelea na zile zinazoendelea.

Thursday, October 29, 2009

DAY4

As iam going through with Internet Training i understand the different uses of internet which journalist should practice in everyday when they do there works

Today ilearn how to LINK in a Blog,how to edit and put pictures in a Blog as well as how to see the number of people whom are visting in my blog.also for the sports news writers and reporters internet is the simplest way for them to get information,for example they can serch for the information news about footbal,Footbal Clubs, WWE, basketball and thus internet can put them up to date.

DAY3

Jane Kajoki,

In our training today we lean about,internet in everyday journalism and traditionally as a journalists sources of news including eyes and ears,individual sources,people,contacts,press release and other media.

We lean about internet as a tool of journalist in any media,we also lean about the ways which all journalist can practically benefits from the internet like search for facts all background,cheking facts i.e editing or even cheking grammer.

Also we have seen that e-mail as a tool in journalism is the fast way of communication which journalist can use for messages,interviews,cheking fax,data fiels,remote acces and security copy, before a journalist could go to the internet he/she must know the kind of information is going to search for

We lean on how a journalist can make research via internet in which we searched different things such as election in Tanzania,and other countries,how to spell the names of capitals like OUAGADOUGOU,VIENTIANE,TEGUCIGALPA, and TALLIN.

see the story

DAY 2

Today we learn about the use of internet in everyday journalism. We have seen the Website that changed the World ,We have seen so many things through internate including the history of iraq war through WIKIPEDIA,we also learnt how to open Blog and to use a blog in different ways .

We have seen the blogger terms of service in which we need to read and agree before you began to use blogger

We also learn about the general Terms and condition of Blogger and how to maintain and promote our personal iformation in blogger.

what i learn

Iam Jane Deogratias Kajoki. A Journalist From Mwananchi Communication
Day 1
Iam here to learn on how I can use internet for communication.

Today we have been tought on how internate has changed society, we sow the number of countries and continents which are the best in the internet use in the world especially China followed by North America.

We also learn on how the internet can help the journalist to send the information, reading some materials for example text books, magazines, finding some information into deferent website,and also how to open the Bank account through internet.

END

Wednesday, October 28, 2009

training

the taining is good for me as i learn so many things which will help me doing my job collectly. I am Jane Deogratius Kajoki my mobile phone number is +255732777555.